Jeremiah 46:25

25 a Bwana Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli, asema: “Nakaribia kuleta adhabu juu ya Amoni mungu wa Thebesi,
Thebesi kwa Kiebrania ni No (au No-Amoni), mji katika Misri.
na juu ya Farao, Misri na miungu yake, na wafalme wake, pamoja na wale wanaomtegemea Farao.
Copyright information for SwhKC